iqna

IQNA

jihad islami
Kadhia ya Palestina
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema vikosi vya mapambano ya Kiislamu ya wapigania ukombozi au Muqawama na Wapalestina wote katika Ukanda wa Gaza ndio washindi kwenye medani ya vita na utawala wa Kizayuni wa Israel ni mwangamizaji wa kizazi na akasisitiza kwa kusema: kilele cha kuheshimika na kusimama imara watu wa Gaza na Palestina na kushindwa utawala wa Kizayuni katika vita hivyo vya miezi sita ni tukio na jambo lenye rehma za Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3478598    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/29

Mapambano ya Wapalestina
TEHRAN (IQNA)- Brigedi Mpya imeundwa na harakati ya kupigania ukombozi wa Palestina ya Jihad Islami kukabiliana na Wanajeshi wa utawala haramu wa Israel katika Ukingo wa Magharibi
Habari ID: 3477629    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/21

Mapambano ya Kiislamu (Al-Muqawama Al-Islamiya)
TEHRAN (IQNA)- Viongozi wa harakati za mapambano ya Kiislamu (Al-Muqawama Al-Islamiya) za Palestina na Lebanon wameapa kushirikiana ili kutoa jibu la pamoja dhidi ya sera za uvamizi za utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3477543    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/03

Diplomasia ya Kiislamu
BEIRUT (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyed Hassan Nasrallah amekutana na kiongozi wa harakati ya Jihad Islami ya Palestina.
Habari ID: 3477432    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/13

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Makundi ya muqawama yamewapongeza wananchi wa Palestina kwa kupata ushindi mkubwa wa kufanikiwa kuzima uvamizi na mashambulizi ya jeshi katili la Israel dhidi ya Wapalestina katika mji wa Jenin, kaskazini mwa eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3477247    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/06

Ukombozi wa Palestina
TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Harakati ya Jihad ya Kiislamu (Jihad Islami) ya Palestina alisema harakati hiyo italipiza kisasi kwa mauaji ya wanachama wake kwa kuishambulia Tel Aviv kwa moto.
Habari ID: 3477044    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/25

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Wapigania ukombozi wa Palestina wameapa kulipiza kisasi baada ya jeshi la utawala haramu wa Israel kuwaua makamanda wa ngazi za juu wa Harakati ya Jihad Islami katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3476981    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/09

Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN(IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina, Ziyad al-Nakhalah amemtumia ujumbe Kiongozi Muadhamu wa Mapiinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Ali Khamenei akimpongeza kwa mnasaba wa kutimia miaka 44 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran.
Habari ID: 3476551    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/12

Mapambano dhidi ya Israel
TEHRAN (IQNA) - Afisa wa harakati ya mapambano ya Jihad Islami ya Palestina anasema mapambano na muqawama dhidi ya utawala vamizi na ghasibu wa Israel yataendelea hadi ukombozi wa ardhi zote za Palestina.
Habari ID: 3475637    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/17

Mapambano ya Palestina
TEHRAN(IQNA)- Mwakilishi wa harakati ya Jihad Islami ya kupigania ukombozi wa Palestina ameishukuru Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa uungajo mkono wake kwa taifa na harakai za mapamabo ya Palestina.
Habari ID: 3475612    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/12

Mapambano dhidi ya Wazayuni
TEHRAN (IQNA)- Ayatullah Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amejibu barua ya Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina na kusema, "mapambano (muqawama) ya kishujaa ya Jihad Islami yatapelekea kupanda hadhi ya harakati hii katika mapambano sambamba na kusambaratisha hadaa za utawala wa Kizayuni na kuufedhehesha utawala huo."
Habari ID: 3475609    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/11

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Idadi ya Wapalestina waliouliwa shahidi katika jinai zinazoendelea za utawala wa Kizayuni huko Gaza imeongezeka na kufikia watu 24 wakiwemo watoto wadogo sita.
Habari ID: 3475589    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/07

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Jihad Islami (Jihadi ya Kiislamu) ya Palestina imelaani vikali jinai ya hivi karibuni ya utawala wa Kizayuni wa Israel ambao umewaua vijana wawili Wapalestina na kusema ukatili kama huo hauwezi kuvuruga azma ya Wapalestina kupigiania ukombozi wao.
Habari ID: 3475533    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/24

Kiongozi wa Jihad Islami
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina amesema kuwa, harakati za kupigania ukombozi wa Palestina zimepata nguvu na kuuimarika kuliko wakati wowote ule huku adui akidhoofika kuliko kipindi chochote na kwamba Wapalestina wako tayari kupambana na utawala ghasibu wa Israel kuukomboa mji wa Quds (Jerusalem) na msikiti wa Al Aqsa mjini humo.
Habari ID: 3474991    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/01

TEHRAN (IQNA)- Harakati za Kiislamu za kupigania ukombozi wa Palestina, Hamas na Jihad Islami zimesisitiza ulazima wa kuafikiana na Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) kuhusu mpango wa pamoja wa kitaifa wa kukabiliana na utawala wa Kizayuni wa Israel unaozikoloni ardhi za Palestina.
Habari ID: 3474978    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/26

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Jihad Islami ya kupigania ukombozi wa Palestina imelaani vikali kitendo cha viongozi wa Imarati cha kumpokea nchini humo Naftali Bennett, Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel na kueleza kwamba, hiyo ni khiyana na usaliti kwa taifa la Palestina.
Habari ID: 3474670    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/13

TEHRAN (IQNA)- Australia imelaaniwa vikali kufuatia hatua yake ya kutangaza chama cha Hizbullah cha Lebanon kuwa eti ni harakati ya kigaidi.
Habari ID: 3474599    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/25

TEHRAN (IQNA)- Harakati za kupigania ukombozi wa Wapalestina za Hamas na Jihad Islami zimetoa tahadhari kwa utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu kuwatesa mateka Wapalestina wanaoshikiliwa na utawala huo dhalimu.
Habari ID: 3474509    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/03

TEHRAN (IQNA) Harakati ya Jihad Islami ya kupigania ukombozi wa Palestina imefanya maadhimisho kwa mnasaba wa kutumia mwaka wa 34 tangu kuasisiwa kwake.
Habari ID: 3474402    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/09

TEHRAN (IQNA)- Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, amesema kuwa, hatua ya mateka 6 wa Kipalestina ya kutoka kwenye jela ya utawala wa Kizayuni licha ya kuweko ulinzi mkali, ni ya kishujaa.
Habari ID: 3474266    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/06